Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
June 15, 2023
Habari Mpya
Dkt.Chemba awasilisha taarifa hali ya uchumi na mpango wa maendeleo wa Taifa 2023/2024
Jamhuri
Comments Off
on Dkt.Chemba awasilisha taarifa hali ya uchumi na mpango wa maendeleo wa Taifa 2023/2024
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akiwasilisha Taarifa ya Hali ya Uchumi kwa mwaka 2022 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2023/2024, bungeni jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, akiteta jambo na Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), baada ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Hali ya Uchumi kwa mwaka 2022 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2023/2024, bungeni jijini Dodoma.
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, akiteta jambo na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), baada ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Hali ya Uchumi kwa mwaka 2022 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2023/2024, bungeni jijini Dod
odoma
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), (katikati) akifurahia jambo katika viwanja vya Bunge na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Natu El-maamry Mwamba na Kamishna wa Idara ya Sera ya Wizara hiyo, Bw. Elijah Mwandumbya, baada ya kuwasilishwa kwa Taarifa ya Hali ya Uchumi kwa mwaka 2022 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2023/2024, bungeni jijini Dodoma.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), akizungumza jambo nje ya ukumbi wa Bunge na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Natu El-maamry Mwamba, baada ya Waziri huyo kuwasilisha Taarifa ya Hali ya Uchumi kwa mwaka 2022 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2023/2024, bungeni jijini Dodoma. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bi. Jenifa Omolo, pamoja na baadhi ya wakuu wa Idara na Vitengo wa Wizara hiyo.
Post Views:
229
Previous Post
Tanzania yawakaribisha wawekezaji kutoka Urusi
Next Post
Matkio katika picha Waziri Mkuu bungeni
Waandishi watatu wa habari wa Lebanon wauawa shambulizi la Israel
Wakuu wa Polisi EAC wajadili uhalifu uliovuka mipaka
Rais Dkt. Samia ateta na Baraza la Mawaziri Zanzibar
Jenerali Mkunda awavisha nishani mbalimbali majenerali Zanzibar
Bilioni 15 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105 Simiyu
Habari mpya
Waandishi watatu wa habari wa Lebanon wauawa shambulizi la Israel
Wakuu wa Polisi EAC wajadili uhalifu uliovuka mipaka
Rais Dkt. Samia ateta na Baraza la Mawaziri Zanzibar
Jenerali Mkunda awavisha nishani mbalimbali majenerali Zanzibar
Bilioni 15 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105 Simiyu
Bwana harusi acharuka
Chad, Jamhuri ya Afrika ya Kati wataka kuunda kikosi mseto cha usalama mpakani
Kuelekea Mkutano wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini 2024,
Injinia Hersi anyakua tuzo Afrika
Ujenzi bomba la mafuta ghafi la EACOP wafikia asilimia 43.5
Wadau wa kisekta watakiwa kukabiliana na athari za mvua za msimu 2024/25
DRC: M23 wadhibiti tena mji wa Kalembe, mashariki mwa nchi
Samia Kalamu Awards yasogezwa mbele hadi Oktoba 30
Bashungwa amkalia kooni mkandarasi CRSG anayetekeleza ujenzi wa barabara Nyamwage – Utete
Shule ya Kata yaweka historia katika TEHAMA