Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza ujumbe wa Tanzania kwenye mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Urusi Mhe. Vladmir Putin pamoja na ujumbe wake katika Ikulu ya Kremlin Jijini Moscow, tarehe 03 Juni, 2026.