Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipokuwa akizungumza na Ujumbe wa Tume ya Kuangalia jinsi ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai,ulipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo Kujitambulisha,chini ya Mwenyekiti wake Jaji Mkuu Mstaafu Mhe.Mohamed Chande Othman (wa tano kulia).[Picha na Ikulu] 11/04/2023. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiagana na Mwenyekiti wa Tume ya Kuangalia jinsi ya kuboresha Taasisis za Haki Jinai Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu Mhe.Mohamed Chande Othman,baada ya mazungumzo na Tume hiyo ilipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo Kujitambulisha.[Picha na Ikulu] 11/04/2023. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Tume ya Kuangalia jinsi ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai ilipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo Kujitambulisha,ujumbe wa tume hiyo wakiongozwa na Mwenyekiti Jaji Mkuu Mstaafu Mhe.Mohamed Chande Othman (wa pili kulia).[Picha na Ikulu] 11/04/2023 Baadhi ya Wajumbe wa Tume ya Kuangalia jinsi ya kuboresha Taasisi za Haki Jinai,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati alipozungumza na Tume hiyo walipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo Kujitambulisha.[Picha na Ikulu] 11/04/2023. Post Views: 50 Post navigation Mkataba wa mchongo waitia hasara ATCL, LUKU zafuka moshi, mikoa 29 mita hazisomi mwaka mzima Majeruhi ajali ya fuso iliyotumbukia mtoni waruhusiwa Ruvuma