Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 5, 2023
Habari Mpya
Rais Samia ahutubia mkutano wa mabadiliko ya Tabianchi barani Afrika nchini Kenya
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia ahutubia mkutano wa mabadiliko ya Tabianchi barani Afrika nchini Kenya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia Wakuu wa Nchi mbalimbali, Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Kimataifa katika Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) unaofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC), Nairobi nchini Kenya 05 Septemba, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Wakuu wa Nchi mbalimbali za Afrika, Wakuu wa Taasisi na Mashirika ya Kimataifa kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Kenya Mhe. William Ruto mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Kenyatta (KICC) kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi Barani Afrika (Africa Climate Summit 23) Nairobi nchini Kenya tarehe 05 Septemba, 2023
Post Views:
122
Previous Post
Jeshi la Polisi lapongeza NMB kupambana na uhalifu nchini
Next Post
Bashe anadi fursa zilizoko kwenye kilimo, awakaribisha uwekezaji Tanzania
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini
Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani
Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora
Habari mpya
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini
Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani
Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora
Viongozi wa Halmashauri watakiwa kusimamia miradi kwa weledi
CCM Njombe, RC Mtaka waridhishwa na ujenzi barabara ya kiwango cha zege Itoli – Ludewa – Manda
Bashungwa: Tumejipanga kuifungua Dar es Salaam
Shahidi aeleza mume wake alivyopigwa na Nathwani mpaka kuzimia
Tanzania yahimiza nchi zipate mikopo nafuu
Vyuo vikuu 15 nje ya nchi kufanya maonyesho Arusha
Utasa unavyogeuka laana kwa wanawake
Samia kusafiri kwa SGR Dar-Dodoma
Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa kimataifa wa barabara
Msafara wa wachezaji wawasili Paris kushiriki Olympic