Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 16, 2024
Habari Mpya
Wizara ya Maji yazindua Wiki ya Maji kwa matembezi
Jamhuri
Comments Off
on Wizara ya Maji yazindua Wiki ya Maji kwa matembezi
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu,Wizara ya Maji (wa nne kushoto) akikata utepe kuzindua Wiki ya Maji,akimwakilisha Waziri wa Maji,Mhe. Jumaa Hamidu Aweso. Uzinduzi wa Wiki ya Maji umefanyika katika Jengo jipya la Wizara ya Maji Mtumba Mjini Dodoma Leo Machi 16,2024 uliyoambatana na Matembezi kwa afya katika Mji wa Serikali Mtumba. (Picha na Mpigapicha Wetu)
Watumishi wa Sekta ya Maji wakishiriki Matembezi ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa Wiki ya Maji leo machi 16,2024 katika Mji wa Serikali Mtumba. (Picha na Mpigapicha Wetu)
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Wizara ya Maji, Wanyenda Kutta (watatu kushoto) akiongoza matembezi kwa watumishi wa Wizara ya Maji pamoja na Taasisi zake, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Wakala Wa Maji Na Usafi Wa Mazingira Vijijini (RUWASA), Mfuko wa Maji Taifa wa Maji na wadau wa sekta ya maji wakati wa matembezi na uzinduzi wa Wiki ya Maji katika jingo jipya la Wizara Mtumba jijini Dodoma leo Machi 16, 2024. (Picha na Mpigapicha Wetu)
Post Views:
321
Previous Post
12 wafanyiwa upasuaji rekebishi wa macho Mloganzila
Next Post
Zungu asisitiza ulipaji kodi
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Habari mpya
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Geita yaupokea mradi wa bilioni 17 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105
Kongamano la ARGe0-C10 kuongeza kasi uendelezaji jotoardhi Afrika Dk Mataragio
Urusi yafanya mashambulizi usiku kucha mjini Kyiv Ukraine
Profesa Mkumbo avutiwa na utendaji wa bandari ya Dar
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Shule za Mbeya kufanyiwa ukarabati mkubwa, zitoe mazingira bora ya kujifunzia