Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 16, 2024
Habari Mpya
Wizara ya Maji yazindua Wiki ya Maji kwa matembezi
Jamhuri
Comments Off
on Wizara ya Maji yazindua Wiki ya Maji kwa matembezi
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu,Wizara ya Maji (wa nne kushoto) akikata utepe kuzindua Wiki ya Maji,akimwakilisha Waziri wa Maji,Mhe. Jumaa Hamidu Aweso. Uzinduzi wa Wiki ya Maji umefanyika katika Jengo jipya la Wizara ya Maji Mtumba Mjini Dodoma Leo Machi 16,2024 uliyoambatana na Matembezi kwa afya katika Mji wa Serikali Mtumba. (Picha na Mpigapicha Wetu)
Watumishi wa Sekta ya Maji wakishiriki Matembezi ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa Wiki ya Maji leo machi 16,2024 katika Mji wa Serikali Mtumba. (Picha na Mpigapicha Wetu)
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimaliwatu Wizara ya Maji, Wanyenda Kutta (watatu kushoto) akiongoza matembezi kwa watumishi wa Wizara ya Maji pamoja na Taasisi zake, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA), Wakala Wa Maji Na Usafi Wa Mazingira Vijijini (RUWASA), Mfuko wa Maji Taifa wa Maji na wadau wa sekta ya maji wakati wa matembezi na uzinduzi wa Wiki ya Maji katika jingo jipya la Wizara Mtumba jijini Dodoma leo Machi 16, 2024. (Picha na Mpigapicha Wetu)
Post Views:
377
Previous Post
12 wafanyiwa upasuaji rekebishi wa macho Mloganzila
Next Post
Zungu asisitiza ulipaji kodi
Lori laua 11 waliokwenda kutoa msaada kwenye ajali Segera mkoani Tanga
Rasimu ya mwisho ya kusitisha vita vya Gaza yatolewa
DAWASA, wananchi Mshikamano wajadiliana uboreshaji huduma maji
Waandishi na wachapishaji vitabu kukutana kesho Dar
Megawati 30 za jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/ 2027 – Dk Kazungu
Habari mpya
Lori laua 11 waliokwenda kutoa msaada kwenye ajali Segera mkoani Tanga
Rasimu ya mwisho ya kusitisha vita vya Gaza yatolewa
DAWASA, wananchi Mshikamano wajadiliana uboreshaji huduma maji
Waandishi na wachapishaji vitabu kukutana kesho Dar
Megawati 30 za jotoardhi kuingia kwenye gridi ifikapo 2026/ 2027 – Dk Kazungu
Maria Sarungi ahusisha utekaji wake na ukosoaji wa Serikali ya Tanzania
Idadi ya waliofariki kwa moto wa nyika Marekani yafikia 24
Soma Gazeti la Jamhuri Januari 14, 2025
Rais Samia azungumza na Balozi wa Japan hapa nchini
Rais Samia akutana na Afisa Mtendaji Mkuu NMB
Rais Samia aipongeza Zanzibar Heroes
Mwanamuziki wa injili Rehema Simfukwe atoboa siri sababu kutunga wimbo wa Chanzo
Watoto mapacha wamuua mama yao mzazi
Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa Arusha
Bilioni 5 kujenga soko la kimataifa Missenyi