Ufisadi, upendeleo CWT

Hali si shwari katika Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kwani wakubwa wa chama hicho kwa sasa wanatazamwa kwa jicho la kutiliwa shaka katika uadilifu wao baada ya kutumia ukabila, udugu na upendeleo wa kila aina kuendesha chama hicho, JAMHURI limebaini.  Tuhuma kadhaa zimeelekezwa kwa viongozi wa chama hicho, hasa Katibu Mkuu, Deus Seif. Miongoni mwa…

Read More

Wajinga wengi hujulikana wanapojieleza

Utandawazi kama mfumo unaoongozwa na kuongoza uchumi wa soko, hutumia mawasiliano ya haraka na mepesi katika shughuli zake. Mfumo huu ulipoingia duniani, ulitishia na kuhatarisha uwepo wa mambo mengi tuliyoyazoea. Dhana ya utandawazi ni somo pana, pekee na mahususi kulizungumzia. Bila kulifahamu hilo kwa undani, ni rahisi kujiingiza katika ugomvi usiokwisha. Nachelea kusema, hata uchaguzi…

Read More

Uhakiki wa uraia kero Ngara

Ofisi ya Uhamiaji Wilaya ya Ngara mkoani Kagera imekuwa ikisababisha usumbufu kwa wananchi wilayani humo kuhusu uraia wa baadhi yao. Inaelezwa kuwa utaratibu wa maofisa Uhamiaji wilayani humo wa kuvizia mabasi na magari yanayofanya safari zake ndani ya wilaya na kuwakamata wasafiri wakihisiwa kuwa wahamiaji haramu, umekuwa na usumbufu mkubwa. JAMHURI limeelezwa kuwa ukaguzi huendeshwa…

Read More

Hifadhi ya Serengeti kuongezwa

Serikali inakusudia kuongeza ukubwa wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla, ameliambia Bunge kuwa wizara yake imetayarisha mapendekezo ya kubadili mpaka wa hifadhi hiyo. Kwa sasa ukubwa wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti iliyoko katika mikoa ya Mara na Simiyu ni kilometa za mraba 14,763. Eneo linalokusudiwa kujumuishwa…

Read More

NINA NDOTO (19)

Uaminifu unalipa   Uaminifu ni tabia ya mtu  kuaminika. Kama watu hawakuamini si rahisi kutimiza ndoto yako. Uaminifu unalipa. Watu wakikuamini ni mojawapo ya hatua kubwa ya kuzifikia ndoto zako. Uaminifu hujengwa, lazima kuna mambo unatakiwa kuyafanya ili watu waweze kukuamini. Kuwa mwaminifu kwenye kazi unayoifanya, na kuwa mwaminifu kwenye majukumu yako ya kila siku….

Read More