Year: 2024
NCAA : Hakuna mwananchi atakayepata nyumba kinyume na utaratibu
NA Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Karatu Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema kwamba ipo makini kuhakikisha kuwa kila kaya inayojiandikisha kuhama kwa hiyari ndani ya hifadhi inapata nyumba katika Kijiji cha Msomera kwa kuzingatia taratibu zilizowekwa na kwamba hakuna mtu…
Bajeti ya matengenezo miundombinu ya umeme kuendelea kuongezeka kila mwaka – Kapinga
📌 Shilingi Bilioni 109.8 zatumika mwaka 2023/2024 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema kuwa, Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) itaendelea kuongeza bajeti kila mwaka ya matengenezo ya miundombinu ya umeme hadi changamoto…
Boniface Jacob, Malisa kikaangoni kusambaza taarifa za uongo kifo cha Robert Mushi
Na Magrethy Katengu,JamuhuriMedia, Dar es Salaam Ndugu wa Marehemu Robart Mushi (34) maarufu kwa jina la Babu G wamekanusha taarifa za uongo na uzushi zinazosambaa katika mitandao ya kijamii iliyoambatanishwa na picha yake na kupitia Account ya Boniface Jacob na…
Wawekezaji wahamasishwa kuwekeza Tanga
Mkoa wa Tanga umebarikiwa kuwa na aina mbalimbali za madini Wafanya biashara waaswa kuzingatia Sheria za Madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Wito umetolewa kwa Wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika fursa zilizopo kwenye Sekta ya Madini…
Balozi Kusiluka : Tumieni uzoefu wenu kuharakisha mabadiliko
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaha Mabalozi wamehimizwa kutumia taaluma, uzoefu na ujuzi tofauti waliokuwa nao kuharakisha mabadiliko ya kimfumo yanayoendelea ndani ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Kauli hiyo imetolewa leo Aprili, 23, 2024 na…