Author: Jamhuri
Uwezo wa kumpiga tunao, Sababu ya kumpiga tunayo
Hotuba ya Mwalimu Julius Nyerere aliyoitoa tarehe 2 Novemba, 1978 alipokuwa akitangaza vita vya kupambana na uvamizi wa majeshi ya Idd Amini katika ukumbi wa Diamond Jubilee
Serikali ilipe madeni mifuko ya jamii
Hivi karibuni Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Jamii (SSRA) iliwekwa ‘kitimoto’ na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iliyo chini ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe na makamu wake, Deo Filikunjombe wa Ludewa.
Sumaye awe mkweli, hajawahi kuichukia rushwa
Nianze kwa maneno mepesi. Anachokifanya sasa hivi Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye, ni kutapatapa. Amegeuka kuwa mtu wa kulalama na kulalamika kila uchao utadhani ndiyo kwanza “anazaliwa”, na wala hajawahi kuwa mmoja wa vigogo wakubwa kabisa Tanzania.
Tusifanye majaribio katika urais 2015
Kadri muda unavyozidi kusonga mbele naona joto la kuwania urais linapanda. Joto hili linapanda kwa wanasiasa, wapambe wao na hata viongozi walioko madarakani wanaanza kuangaliangalia nani watamsaidia kushika dola kisha aendelee ‘kuwaenzi’.
Kikwete awakoroga wagombea urais
KAULI mbili zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete juu ya kushika wadhifa huo mkubwa nchini, zimewachanganya baadhi ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotangaza na wale wanaotajwa kuwania kumrithi.
Putin anakuja Tanzania
LICHA ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, kusuasua kuthibitisha kuhusu ujio wa Rais wa Russia, Vladimir Putin taarifa za uhakika zinasema kwamba mwamba huyo wa kimataifa atatua nchini Februari, mwakani.
Habari mpya
- Rais Samia mgeni rasmi Mei Mosi
- Wanahabari wajadili mustakabali mpya sekta ya habari Tanzania
- Tanzania yasisitiza uongezaji thamani madini ndani ya Afrika
- Waziri Kombo aagana na Balozi mteule wa Tanzania nchini Comoro
- Mwandishi wa habari Mbeya ahukumiwa kwenda jela miaka 60
- NEMC kupanda miti 40, 000 maadhimisho miaka yake 40
- Neema ya umeme yashuka mwambao wa ziwa Nyasa
- Waziri Mkenda: Usimamizi wa ajira na rasilimaliwatu waimarishwa
- Tanzania, Belarus kushirikiana na kupitia TPA kuimarisha uchukuzi kupitia bandari ya Dar
- Ushirikiano wa sekta chachu ya mafanikio ya Afya Moja
- Mbaroni kwa tuhuma za kukuta na kililo 166.71 za mirungi Tabora
- Mwenyekiti CCM akiteta jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu CCM
- Uzalishaji taka za plastiki wapungua kwa asilimia 95
- Mkaguzi Kata Iragua atoa mwongozo kwa watumiaji wa barabara kuepusha madhara
- Ulega apokea taarifa ya washindi shindano la kupunguza foleni mijini
Copyright 2025
Designed by
JamhuriMedia
Cookie Consent
We use cookies to improve your experience on our site. By using our site, you consent to cookies.
Cookie Preferences
Manage your cookie preferences below:
Essential cookies enable basic functions and are necessary for the proper function of the website.
Name
Description
Duration
Cookie Preferences
This cookie is used to store the user's cookie consent preferences.
30 days