Author: Jamhuri
Vidonda vya tumbo na hatari zake (16)
Wiki iliyopita, Dk. Khamis Zephania alieleza vyanzo na madhara ya magonjwa ya saratani ya tumbo na vidonda vya tumbo kwa mama wajawazito. Sasa mfuatilie zaidi katika sehemu hii ya 16…
Jinsi vidonda vya tumbo vinavyochunguzwa
Salaam za Kagasheki kwa majangili
*Angependa wakikutwa maporini ‘wamalizwe’ huko huko
*Maelfu ya wananchi wakubali adhabu ya kifo kwa wahusika
*Muswada kuipa makali sheria kuwasilishwa Bunge lijalo
Muda ni saa 2 na dakika kadhaa asubuhi. Mbele ya Makao Makuu ya Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) kuna mamia ya watu wa rika, rangi na jinsi zote. Wana mabango yenye ujumbe maalumu.
Dola ikomeshe vibaka kwenye daladala
Tatizo la vibaka limeendelea kuota mizizi katika daladala za abiria, hasa jijini Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanaotumia usafiri huo wa umma wamekuwa wakiibiwa fedha na simu za kiganjani kila kukicha!
Mungu awe nayi wana JAMHURI
Chonde chonje wavuta sigara
Mhariri,
Ninajitokeza kutumia fursa hii kutoa wito kwa watu wote wanaovuta sigara kuacha kasumba mbaya ya kuvuta sigara katika msongamano wa watu, kwa sababu vitendo hivyo vina athari kubwa zaidi za kiafya kwa wasiotumia bidhaa hiyo.
Vijana na makundi matatu ya uongozi
Mwaka 1974 hadi 1978 nilikuwa Katibu Mkuu wa kwanza miongoni mwa waasisi wa Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Kinondoni (KIFA), Dar es Salaam. Mwaka 1976 Katibu wa wanachuo, Chuo cha TANU Kivukoni, na Katibu wa TANU (Radio Tanzania Dar es Salaam-RTD) kazini.
Habari mpya
- Mei Mosi 2026 kufanyika viwanja vya Dole
- Kagera kunufaika na mpango wa Mkoa wa Afya Moja
- TCDC yashiriki zoezi la upandaji miti Njombe
- Upatikanaji dawa wa uhakika waipaisha MSD, waimwagia sifa Serikali
- Z’bar waliweza, Tanzania hatutashindwa
- Serikali yaendelea kudhibiti kipindupindu, mafunzo yatolewa kwa wataalam
- Waziri wa Mambo ya Nje wa Belarus kutembelea nchini
- Soma Gazeti la Jamhuri Aprili 28 – Mei 4, 2026
- Bunge lapitisha bil. 174.9/- kwa Wizara ya Madini
- NSSF yafikia trilioni 11.2, Waziri Sangu abainisha Hifadhi Skimu inavyoenda kubadili maisha ya Watanzania
- Murilo : Hali ya usalama ni shwari
- Mradi wa TACTIC kuongeza fursa za kiuchumi kwa wananchi Korogwe
- Wizara ya Madini yaomba bilioni 174.98/- kwa Bajeti ya 2026/2027
- Serikali : Huduma za fedha kidijitali zazidi kuimarishwa
- Serikali kupitia MSD wachochea utoaji huduma bora Hospitali ya Manyoni