Author: Jamhuri
Vidonda vya tumbo na hatari zake (16)
Wiki iliyopita, Dk. Khamis Zephania alieleza vyanzo na madhara ya magonjwa ya saratani ya tumbo na vidonda vya tumbo kwa mama wajawazito. Sasa mfuatilie zaidi katika sehemu hii ya 16…
Jinsi vidonda vya tumbo vinavyochunguzwa
Salaam za Kagasheki kwa majangili
*Angependa wakikutwa maporini ‘wamalizwe’ huko huko
*Maelfu ya wananchi wakubali adhabu ya kifo kwa wahusika
*Muswada kuipa makali sheria kuwasilishwa Bunge lijalo
Muda ni saa 2 na dakika kadhaa asubuhi. Mbele ya Makao Makuu ya Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) kuna mamia ya watu wa rika, rangi na jinsi zote. Wana mabango yenye ujumbe maalumu.
Dola ikomeshe vibaka kwenye daladala
Tatizo la vibaka limeendelea kuota mizizi katika daladala za abiria, hasa jijini Dar es Salaam. Baadhi ya watu wanaotumia usafiri huo wa umma wamekuwa wakiibiwa fedha na simu za kiganjani kila kukicha!
Mungu awe nayi wana JAMHURI
Chonde chonje wavuta sigara
Mhariri,
Ninajitokeza kutumia fursa hii kutoa wito kwa watu wote wanaovuta sigara kuacha kasumba mbaya ya kuvuta sigara katika msongamano wa watu, kwa sababu vitendo hivyo vina athari kubwa zaidi za kiafya kwa wasiotumia bidhaa hiyo.
Vijana na makundi matatu ya uongozi
Mwaka 1974 hadi 1978 nilikuwa Katibu Mkuu wa kwanza miongoni mwa waasisi wa Chama cha Mpira wa Miguu Wilaya ya Kinondoni (KIFA), Dar es Salaam. Mwaka 1976 Katibu wa wanachuo, Chuo cha TANU Kivukoni, na Katibu wa TANU (Radio Tanzania Dar es Salaam-RTD) kazini.
- RC Ruvuma amshukuru Rais Samia kwa bilioni 47 za miradi ya maendeleo
- Prof. Shemdoe: Nimeridhishwa na utekelezaji jengo la ofisi ya RC Morogoro
- Wanahabari nguzo muhimu kwa maslahi ya afya za wananchi
- Ndejembi: Ujenzi bomba la mafuta wafikia asilimia 86, meli ya kwanza kubeba mafuta Januari 2027
- Miaka 30 ya TRA, yaacha alama ya utunzaji mazingira kwa kupanda miti 3,850 nchini
Habari mpya
- RC Ruvuma amshukuru Rais Samia kwa bilioni 47 za miradi ya maendeleo
- Prof. Shemdoe: Nimeridhishwa na utekelezaji jengo la ofisi ya RC Morogoro
- Wanahabari nguzo muhimu kwa maslahi ya afya za wananchi
- Ndejembi: Ujenzi bomba la mafuta wafikia asilimia 86, meli ya kwanza kubeba mafuta Januari 2027
- Miaka 30 ya TRA, yaacha alama ya utunzaji mazingira kwa kupanda miti 3,850 nchini
- TARURA yamaliza changampto ya barabara Kata ya Nanyanga Tandahimba
- Tusimhukumu Rais Samia kwa makosa ya kihistoria
- Soma Gazeti la Jamhuri Juni 30 – Jula 6
- CRDB Insurance yazindua ‘ Smart mifugo’ kulinda wafugaji dhidi ya hasara
- Polisi Pwani yachunguza mauaji ya mwanamke na mtoto Chalinze
- Pwani kunufaika na mradi wa bilioni 6.3 kuokoa watoto waishio mitaani
- Balozi Omar, Mkurugenzi mpya wa Afriexim bank wateta Dar es Salaam
- Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaridhishwa na maendeleo ya uzalishaji umeme Kituo cha Julius Nyerere
- REA Zambia yahitimisha ziara yake nchini
- Ndoto za masomo nje zakaribia kutimia kwa wanafunzi wa kitanzania