Author: Jamhuri
Rais Kagame si wa kumwamini sana
Makala iliyopita ya “JWTZ nginjangija Goma hadi Kigali’, imenifumbua macho. Nimepata simu nyingi na ujumbe wa maandishi usio idadi. Wapo waliotumia lugha kali, lakini wengi walikuwa waungwana. Hiyo ndiyo raha ya mijadala. Kuna wakati tunaweza kukubaliana kwenye baadhi ya mambo, na wakati mwingine tusikubaliane kwa hoja fulani fulani. Muhimu ni kujenga moyo wa uvumilivu na staha.
Sote tukiwa waoga nchi itayumba
Ni kosa kubwa kwa mtoto wa Kizanaki kumtamkia mtu aliyemzidi umri neno ‘mwongo’. Hawa ni tofauti na makabila mengine, mathalani Wajita. Wao mtoto ana uhuru na haki ya kumtamkia mzazi au mtu aliyemzidi umri neno ‘mwongo’. Wakati Mzanaki atapambana kumnasa vibao mtoto anayeamini kamtukana, mzazi wa Kijita atafanya juhudi za kupambana kwa hoja kumthibitishia mtoto yule kwamba yeye (mkubwa) si mwongo. Hizo ni tofauti za wazi kwa makabila hayo mawili.
Messi alipa faini ya kukwepa kodi
Nyota wa timu ya soka ya Barcelona na timu ya Taifa ya Argentina, Lionel Messi pamoja na baba yake mzazi wamelipa euro milioni tano, sawa na dola milioni 6.6 za Marekani, baada ya kubainika na kosa la kukwepa kodi. Messi na mzazi wake huyo walidaiwa kukwepa kulipa kodi hiyo ya serikali kwa njia za ujanjaujanja.
Kambi ya upinzani walitoka na hoja zao
Wiki iliyopita, Mkutano wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ulikuwa na vibweka na vimbwanga vingi vyenye kuacha kinywa wazi kwa mshangao na hamaki kwa mtu yeyote makini mwenye kuujali mustakabali mwema wa nchi yake.
Hata hivyo, pamoja na vibweka na vimbwanga vilivyotokea kwenye kikao hicho, ukweli unabaki kuwa kilikuwa kikao chenye moja ya miswada muhimu yenye kipekee unaokwenda kuweka jiwe jipya la msingi kwa Tanzania tunayoihitaji kuijenga kwa miaka 50, au hata 100 ijayo.
Hotuba iliyochafua hali ya hewa ndani ya Bunge
MAONI YA MSEMAJI WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI, WIZARA YA SHERIA NA KATIBA, MHESHIMIWA TUNDU A.M. LISSU KUHUSU
MUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA YA MABADILIKO YA KATIBA, YA MWAKA 2013
(Kanuni ya 86(6) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, 2013)
UTANGULIZI
Mheshimiwa Spika,
Huu ni Muswada wa marekebisho ya pili ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 ya Sheria za Tanzania. Kama Bunge lako tukufu litakavyokumbuka, Sheria hii ilifanyiwa marekebisho ya kwanza kwa kupitishwa kwa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Na. 2 ya mwaka 2012, mwezi Februari ya mwaka jana. Mabadiliko hayo ya kwanza yalihusu Sehemu ya Tatu na ya Nne ya Sheria hii, na yalilenga vifungu mbali mbali vinavyohusu Tume ya Mabadiliko ya Katiba na utekelezaji wa majukumu yake.
- Soma Gazeti la Jamhuri Aprili 28 – Mei 4, 2026
- Bunge lapitisha bil. 174.9/- kwa Wizara ya Madini
- NSSF yafikia trilioni 11.2, Waziri Sangu abainisha Hifadhi Skimu inavyoenda kubadili maisha ya Watanzania
- Murilo : Hali ya usalama ni shwari
- Mradi wa TACTIC kuongeza fursa za kiuchumi kwa wananchi Korogwe
Habari mpya
- Soma Gazeti la Jamhuri Aprili 28 – Mei 4, 2026
- Bunge lapitisha bil. 174.9/- kwa Wizara ya Madini
- NSSF yafikia trilioni 11.2, Waziri Sangu abainisha Hifadhi Skimu inavyoenda kubadili maisha ya Watanzania
- Murilo : Hali ya usalama ni shwari
- Mradi wa TACTIC kuongeza fursa za kiuchumi kwa wananchi Korogwe
- Wizara ya Madini yaomba bilioni 174.98/- kwa Bajeti ya 2026/2027
- Serikali : Huduma za fedha kidijitali zazidi kuimarishwa
- Serikali kupitia MSD wachochea utoaji huduma bora Hospitali ya Manyoni
- TMA yatoa tahadhari ya hali mbaya ya hali ya hewa
- Kocha bingwa wa NCAA Austin Pillado kuongoza kambi maalumu ya kuogelea Dar es Salaam
- Dar es Salaam yajiandaa kushiriki maonesho makubwa ya Kilimo Afrika
- Waziri Mkuu aadhimisha miaka 62 ya Muungano kwa kukagua miradi ya barabara Dar, Prof. Shemdoe afurahishwa
- Mwenge wahamasisha nishati safi kwa kumuunga mkono Rais Samia
- Mwenge wa Uhuru waridhishwa na barabara za TARURA, ikiwemo Chumbi Kiegele Rufiji
- Mkutano wa kikanda wajadili usalama na biashara haramu ya silaha