Author: Jamhuri
Bila reli, barabara zitakufa
Wizara ya Ujenzi, kama zilivyo wizara nyingine, ni miongoni mwa wizara chache ambazo ni mihimili ya maendeleo ya taifa letu.
Tanzania, tofauti na makoloni mengine, iliachwa na watawala dhalimu ikiwa haina barabara, si za lami tu, bali hata za changarawe.
Magufuli moto mkali
*Atangaza kimbunga kwa wavamizi wa barabara
*Afumua mtandao wa ufisadi, gharama ujenzi zashuka
*Flyovers kuanza kujengwa kwa kasi jijini D’ Salaam
Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ametangaza kiama dhidi ya wavamizi wa hifadhi za barabara nchini, huku akifanikisha kushusha gharama za ujenzi kutoka Sh bilioni 1.8 kwa kilomita moja hadi Sh milioni 700.
Hospitali ya Jeshi Lugalo kupandishwa daraja
Serikali imeaanza mipango ya kuipandisha Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Lugalo, kuwa Hospitali ya Rufaa, Bunge limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, baada ya Bunge lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Mpango wa Maendeleo na Makadirio…
Lundenga: Miss Tanzania imeitangaza nchi
Kwa muda wa miaka 18 iliyopita, mashindano ya Mrembo wa Tanzania yamekuza utamaduni, utalii na uwekezaji wa kigeni. Si hilo tu, mashindano haya yamewapa fursa mpya ya kujitambua wasichana Watanzania, anasema mwandaaji wa mashindano hayo, Hashim Lundenga.
Chadema sasa wadai rasmi Serikali ya Tanganyika
Hii ni sehemu ya maoni ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Tundu Lissu kuhusu Mpango wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) kwa mwaka wa fedha wa 2012/2013. Endelea
Katika maoni yetu kuhusu Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ilionyesha jinsi ambavyo “tafsiri hii mpya ya Makubaliano ya Muungano na Katiba ya Jamhuri ya Muungano imetiliwa nguvu kubwa na Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ambayo imeipa Zanzibar nafasi na ushawishi mkubwa katika utungaji wa Katiba Mpya.”
- Dk Biteko awataka maafisa maendeleo jamii wasikubali kuachwa nyuma
- Shule 216 za Serikali zatumia nishati safi ya kupikia – Kapinga
- Serikali yakabidhi hati mbili za mashamba ya umwagiliaji
- CHAKAMWATA wampongeza Rais Samia kupandisha mishahara kwa watumishi
- TEMESA Arusha yatekeleza maagizo ya Serikali kwa mafanikio kupitia mfumo wa MUM
Habari mpya
- Dk Biteko awataka maafisa maendeleo jamii wasikubali kuachwa nyuma
- Shule 216 za Serikali zatumia nishati safi ya kupikia – Kapinga
- Serikali yakabidhi hati mbili za mashamba ya umwagiliaji
- CHAKAMWATA wampongeza Rais Samia kupandisha mishahara kwa watumishi
- TEMESA Arusha yatekeleza maagizo ya Serikali kwa mafanikio kupitia mfumo wa MUM
- REA yakamilisha kufikisha umeme vijiji vyote 523 Mkoa wa Lindi
- Breaking News; Cleopa Msuya afariki dunia, Rais Samia atangaza siku saba za maombolezo
- Wataalam Afrika Mashariki wajadili Nishati Safi ya kupikia jijini Arusha
- RUWASA yapeleka neema ya maji Mloka, Mbunju Mvuleni, Ndundutawa Rufiji
- Kundi la G55 CHADEMA latangaza kung’oka , wadai kutengwa
- CRDB yawahakikishia wawekezaji ukuaji endelevu wa uwekezaji wao
- Makadinali 133 wajumuika Vatican kumchagua mrithi wa Papa
- Tanzania, Zambia zakutana kujadili mpango kazi uimarishaji mpaka wa kimataifa
- Mama Ulega akabidhi gari, vifaa vya ujasiriamali kwa UWT Pwani
- Tanzania na mageuzi makubwa ya sekta ya ardhi