Author: Jamhuri
Bila reli, barabara zitakufa
Wizara ya Ujenzi, kama zilivyo wizara nyingine, ni miongoni mwa wizara chache ambazo ni mihimili ya maendeleo ya taifa letu.
Tanzania, tofauti na makoloni mengine, iliachwa na watawala dhalimu ikiwa haina barabara, si za lami tu, bali hata za changarawe.
Magufuli moto mkali
*Atangaza kimbunga kwa wavamizi wa barabara
*Afumua mtandao wa ufisadi, gharama ujenzi zashuka
*Flyovers kuanza kujengwa kwa kasi jijini D’ Salaam
Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ametangaza kiama dhidi ya wavamizi wa hifadhi za barabara nchini, huku akifanikisha kushusha gharama za ujenzi kutoka Sh bilioni 1.8 kwa kilomita moja hadi Sh milioni 700.
Hospitali ya Jeshi Lugalo kupandishwa daraja
Serikali imeaanza mipango ya kuipandisha Hospitali Kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Lugalo, kuwa Hospitali ya Rufaa, Bunge limeelezwa.
HOTUBA YA WAZIRI WA UJENZI
UTANGULIZI Mheshimiwa Spika, baada ya Bunge lako Tukufu kupokea taarifa iliyowasilishwa leo hapa Bungeni na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, naomba kutoa hoja kwamba Bunge lako tukufu likubali kupokea, kujadili na kupitisha Mpango wa Maendeleo na Makadirio…
Lundenga: Miss Tanzania imeitangaza nchi
Kwa muda wa miaka 18 iliyopita, mashindano ya Mrembo wa Tanzania yamekuza utamaduni, utalii na uwekezaji wa kigeni. Si hilo tu, mashindano haya yamewapa fursa mpya ya kujitambua wasichana Watanzania, anasema mwandaaji wa mashindano hayo, Hashim Lundenga.
Chadema sasa wadai rasmi Serikali ya Tanganyika
Hii ni sehemu ya maoni ya Msemaji Mkuu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) Tundu Lissu kuhusu Mpango wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano) kwa mwaka wa fedha wa 2012/2013. Endelea
Katika maoni yetu kuhusu Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ilionyesha jinsi ambavyo “tafsiri hii mpya ya Makubaliano ya Muungano na Katiba ya Jamhuri ya Muungano imetiliwa nguvu kubwa na Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ambayo imeipa Zanzibar nafasi na ushawishi mkubwa katika utungaji wa Katiba Mpya.”
- TMA yatoa taarifa ya kupatwa kwa mwezi kesho
- Mkuu wa Mkoa Songwe awataka wananchi, kamati ya ulinzi na usalama kuwa macho na miradi ya umwagiliaji
- Dk Biteko asema mgombea mwenza ni chaguo sahihi na mwalimu wa wengi
- Dk Samia aahidi kujenga stendi ya kisasa ya mabasi Mafinga
- Nchimbi ndani ya Katoro, Geita awanadi wagombea
Habari mpya
- TMA yatoa taarifa ya kupatwa kwa mwezi kesho
- Mkuu wa Mkoa Songwe awataka wananchi, kamati ya ulinzi na usalama kuwa macho na miradi ya umwagiliaji
- Dk Biteko asema mgombea mwenza ni chaguo sahihi na mwalimu wa wengi
- Dk Samia aahidi kujenga stendi ya kisasa ya mabasi Mafinga
- Nchimbi ndani ya Katoro, Geita awanadi wagombea
- Polisi yamsaka mwanamke aliyemfanyia ukatili mtoto
- Rais Samia aahidi kuifungua kiuchumi Dodoma, Moro na Songwe
- Mahakama Uvinza yamtia hatiani mtendaji kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa
- Dk Samia akiomba kura kwa wananchi Rungwe
- Mganga atuhumiwa kumuua mteja na kumfukia kwenye tanuri la mkaa Mlandizi
- Polisi anayedaiwa kubaka mwanafunzi afukuzwa kazi
- Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara Mbeya
- Angalia Dk Samia akicheza mziki na wanachama Mbeya
- Muliro akabidhi askari wa kike bendera kwa niaba ya IGP kwenda Scotland
- RC Kunenge- Mageuzi ya biashara na uwekezaji yachangia kupaa kwa Manispaa ya Mji Kibaha