Category: Habari Mpya
IGP mstaafu Mwema azindua kitabu chake kinachozungumzia utawala na usimamizi wa sheria
Na Abel Paul wa Jeshi la Polis -Dar es Salaam Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi (mstaafu,) Tanzania IGP Said Ally Mwema jana june 23,2023 amezindua kitabu alichokiandika chenye Sura Tisa na kichwa cha habari kisemacho POLISI,UTAWALA NA USIMAMIZI WA…
Yanga yamtambulisha kocha mkuu mpya
Timu ya Yanga SC imemtambulisha rasmi Kocha Mkuu, Miguel Angel Gamondi kuinoa timu hiyo msimu ujao akichukua nafasi ya Nasreddine Nabi aliyemaliza mkataba wake. Kocha huyo raia wa Argentina ametambulishwa leo Juni 24 na Ofisa Habari wa Klabu hiyo, Ally…
Watu 708 wapimwa moyo Pemba
……..………………….. Na Mwandishi Maalum , Pemba Watu 708 wamepata huduma za upimaji na matibabu ya moyo katika kambi maalum ya matibabu iliyofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Abdulla Mzee iliyopo wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba. Kambi hiyo ya siku tano…
PPRA yatambulisha rasmi mfumo wa NeST utakaodhibiti ununuzi mtandaoni
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma. Mamlaka ya Udhibiti wa Unusual wa Umma (PPRA) imetambulisha rasmi mfumo wake mpya wa ununuzi wa Umma wa kielektroniki ujulikanao kama NeST ili kudhibiti ununuzi wa Umma unaozingatia uwazi. Hayo yameelezwa leo Juni 23,2023 jijini Dodoma…
Simbachawane ataka Taasisi za Umma kuwa na mikataba ya huduma kwa wateja
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora,imezindua mikataba ya huduma kwa wateja kwa Taasisi za umma huku ikitoa maagizo kwa taasisi zote za umma nchini kuwa na mikataba ya…
Polisi Pwani watoa huduma za matibabu kwa watoto
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani kupitia kikosi cha Afya, Leo Juni, 23 wametoa huduma ya matibabu kwa watoto yatima wa kituo cha Buloma Foundation kilichopo Picha ya ndege, Wilaya ya Kibaha, mkoani Pwani. Watoto…





