Category: Habari Mpya
Makamba: Majadiliano mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia yakamilika
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, amesema kuwa, majadiliano yanayohusu Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia baina ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji Kampuni ya Shell ya Uholanzi na Equinor ya Norway na washirika wao yamekamilika na kwamba sasa…
WCF yatoa msaada kwa watoto wanaofanyiwa upasuaji JKCI
Katika kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani, wafanyakazi wanawake kutoka Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) wametoa mahitaji mbalimbali kwa watoto wanaopatiwa matibabu ya moyo kwenye Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam Machi 6, 2023. Wanawake hao…
Ndunguru:Uwekezaji sekta ya madini umekua kwa kasi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Katibu Mkuu Mpya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Adolf Ndunguru amesema Uwekezaji katika Sekta ya Madini umekua kwa kasi ikiwemo kuongezeka kwa mapato ya Serikali yanayotokana na shughuli za madini nchini….
Meya Dodoma azitaka Kamati za urasimishaji kutokuwa miungu watu
Na Magreth Lyimo,WANMM Kamati za urasimishaji zimeelekezwa kutokuwa miungu watu na badala yake zimetakiwa kusimamia na kuwa kiunganishi kati ya wananchi na wataalamu wa Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) watakaoenda kutekeleza zoezi la urasimishaji katika Jiji…
DC Namtumbo aonya watendaji wasio waaminifu
Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Namtumbo Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Malenya Ngolo amesema kuwa usimamizi mbovu wa vyanzo vya mapato kutoka kwa baadhi ya madiwani pamoja na wataalam,umesababisha baadhi ya watendaji wa halmashauri hiyo kuhujumu mapato jambo ambalo limesababisha kutoendelea kwa miradi…





