JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Dereva aliyegonga Twiga,kulipa milioni 34.9/-

Dereva wa lori aliyemgonga Twiga na kumuua katika Hifadhi ya Taifa ya Mikumi anatarajiwa kufikishwa mahakamani mara baada ya kupata matibabu. Hifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi Ignas Gara amesema kuwa tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia Septemba…

Serikali yajivunia ushirikiano wake na China

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema inaendelea kujivunia ushirikiano wake na Serikali ya Watu wa China kwa vitendo zaidi kwa maslahi ya pande zote mbili. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…

TAMISEMI na Wataalam wa ardhi watakiwa kujipanga kutatua changamoto

Na Anthony Ishengoma na Munir Shemweta,Dodoma Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Dkt. Angeline Mabula, amewataka wakurugenzi wa Halmashauri nchini kujipanga na kufanya kazi kwa pamoja na wataalamu wa ardhi ili kuondoa changamoto zinazojitokeza katika utendaji kazi na…

Mkandarasi Songea achangia mufuko 20 ya saruji shule ya msingi Makambi

Na Julius Konala,JamhuriMedia,Songea Katika kuunga mkono jitihada za Rais Samia Suluhu Hassan za kuboresha majengo ya shule hapa Nchini,mkurugenzi wa kampuni ya ukandarasi ya GAJOVU Joseph Ngonyani(WAYA)amechangia mifuko 20 ya saruji yenye thamani ya zaidi ya shilingi 300,000 kwa ajili…

Askari uhifadhi wa TANAPA 97 wahitimu mafunzo Namtumbo

Askari wahifadhi wa TANAPA 97 wamehitimu mafunzo ya aina tatu tofauti katika chuo cha Uhifadhi Maliasili Jamii cha Likuyu Sekamaganga wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma. Akitoa taarifa ya mafunzo hayo kwenye hafla ya ufungaji mafunzo hayo iliyofanyika kwenye viwanja vya chuo…

Sauti programu kuzalisha mifugo bora kwa soko la ndani na nje

Programu ya Samia Ufugaji kwa Tija inakwenda kumaliza changamoto ya upatikanaji wa mifugo bora inayohitajika kwa ajili ya soko la ndani na nje ya nchi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Mashimba Ndaki wakati anazungumza na vijana waliochaguliwa kujiunga…