JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mbaroni kwa kuiba mtoto mchanga wa miezi miwili

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Songwe Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe linamshikilia Yusta Mwanyonga (27) Mkazi wa Kijiji cha Senjele, wilayani Mbozi kwa kosa la wizi wa mtoto mchanga wa miezi miwili. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Kamanda wa…

Rombo kutumia soko la kimataifa kuuza ndizi

Na Mathias Canal, JamhuriMedia,Rombo Ndizi ni zao kubwa la biashara na chakula hivyo likitumika vizuri litabadili uchumi wa wakulima na nchi kwa ujumla wake. Katika kuimarisha sekta ya Kilimo hususani zao la ndizi imeelezwa kuwa kuna umuhimu wa kutumia soko…

Bei ya mafuta ya petroli yapungua

Bei ya mafuta ya petroli na dizeli ya mwezi Oktoba imepungua ambapo kwa Mkoa wa Dar es Salaam petroli itauzwa kwa Sh.2886 huku dizeli ikiuzwa kwa Sh. 3,083 kwa bei ya rejareja Kwa mkoa wa Tanga Petrol itauzwa 2,924 na…

Amchoma moto mwanaye kwa kudokoa mboga

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mtwara Mkazi wa Kijijii cha Namanjele mkoani Mtwara,Somoe Mohamed anatuhumiwa kumchoma moto mtoto wake wa umri wa miaka mitano kwa madai ya kudokoa mboga. Kwa mujibu wa majirani (jina linahifadhiwa),amesema kuwa wakati akiendelea kufua nyumbani kwake alisikia kilio…

Wanaume wapigana na kuuana kwa kugombea mwanamke

Wanaume wawili ambao ni wakazi wa Kijiji cha Mkangaula , Kata ya Namalenga wilayani Masasi mkoani Mtwara wameuana kwa kupigana kwa kutumia magongo kwa kugombea mwanamke ambaye kila mmoja alidai ni mpenzi wake. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa…

Dola Bilioni 19.2 kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi

Serikali imesema takribani dola 19.2 za kimarekani zitatumika katika kutekeleza Mpango wa Taifa wa Kukabiliana na mabadiliko tabianchi. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt.Selemani Saidi Jafo amesema hayo jana Oktoba 3,2022 katika kikao cha…