Category: Habari Mpya
Dkt.Mpango atoa maagizo kwa Wizara ya Madini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango,ameitaka Wizara ya Madini, STAMICO na NEMC kuongeza kasi ya ukaguzi wa migodi na midogo ili kubaini na kudhibiti uharibifu wa mazingira. Makamu wa Rais amesema hayo jana jijini…
‘Vyombo vya habari vinahitaji sheria rafiki’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedi, Dar TASNIA ya habari inapaswa kuwa na sheria na kanuni rafiki ili kuruhusu kukua na kwamba, kuweka sheria kali na ngumu, kunaua vyombo vya habari lakini kunaacha athari hasi kwa taifa. Hayo yamesemwa leo na Mjumbe wa…
Meena:Sheria zenye mtego zimechangia kutia hofu wanahabari
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar IMEELEZWA kuwa kuna mambo mengi yaliyochangia kutia hofu wanahabari ni pamoja na kuwepo kwa sheria zenye mtego, ikiwemo utaratibu wa kuomba leseni ya kuendesha gazeti kila mwaka. Hayo yamebainishwa na mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la…
Polisi waendelea na oparesheni kali kuzuia uhalifu Dar
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limesema linaendelea na operasheni maalum kali ya kuzuia vitendo vya kihalifu maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam. Akizungumza mapema leo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es…
Endelea kufuatilia matokeo ya uchaguzi Kenya
Zaidi ya vituo 43,000 vya kupigia kura vimewasilisha matokeo yao ya urais kutoka kwa kura ya Jumanne. Matokeo ya muda yanaonyesha ushindani mkali kati ya wagombeaji wawili wakuu wa urais. Matokeo ya awali ya urais yanaonyesha ushindani mkali kati ya…





