JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

‘Kuna vifungu vya sheria vinavyowanyima usingizi waandishi wa habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia IMEELEZWA kuwa bado kuna vifungu vya sheria vinavyozuia uhuru wa habari na kuchangia waandishi wa habari kushindwa kutekeleza majukumu yao. Hayo yameelezwa leo Agosti 15,2022 na Mwenyekiti mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Theophil Makunga,katika ofisi…

‘Uwepo wa sheria zinazotekelezeka kutaisaidia tasnia ya habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia VYOMBO vya habari vinaisaidia serikali katika kuona na kuchukua hatua, hivyo uwepo wa sheria zinazotekelezeka kunaweza kusaidia tasnia hiyo kuwa msaada mkubwa kwa serikali. Kauli hiyo ilitolewa na Salome Kitomari, Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari…

Kinana asema wanaodai urais wa Samia ni wa katiba sio wakweli

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ameweka wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hasasan ni Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na amepatikana kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa kupigiwa…

TPA yajipanga kuhimili ushindani kibiashara

MAMLAKA ya usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imesema kuwa ili kuweza kuhimili ushindani katika biashara ya Bandari,imeendelea kuboresha matumizi ya mifumo ya TEHAMA kuondokana na mifumo ya zamani Mifumo katika utoaji huduma za Kibandari. Hayo yamesemwa leo Agosti 13,2022 jijini…

Balile:Bado kuna vifungu vya sheria ambavyo ni kandamizi’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri (TEF),Deodatus Balile amesema kuwa bado kuna maeneo katika vifungue vya sheria ya habari vimekuwa vikwazo na vinahitaji kufanyiwa marekebisho. Hayo ameyasema jana katika kipindi cha Kipima Joto kinachorushwa na Televisheni ya ITV…