JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Maoni ya Mhariri

Masauni atoa wito kutumia fursa zilizopo kwenye mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Unguja SERIKALI ya Awamu ya Sita pamoja na mambo mengine imeimarisha zaidi ushirikiano wa kimataifa na kutoa mchango mkubwa katika masuala ya kikanda na kimataifa yanayohusu mazingira na mabadiliko ya Tabianchi. Waziri wa Nchi Ofisi ya…

CHAUMMA kukuza uchumi asilimiasaa hadi tisa

Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amesema serikali ya chama hicho itahakikisha mchango wa sekta ya kilimo kwa uchumi wa nchi unakua na kufikia asilimia kati ya saba hadi tisa ndani ya miaka mitano ijayo….

Kinachojirudia Somanga ni aibu

Barabara inayounganisha mikoa ya kusini mwa Tanzania; Mtwara, Lindi na mikoa ya Pwani na Dar es Salaam ni miongoni mwa barabara kubwa na muhimu nchini. Ni barabara ambayo ilikuwa imesahaulika kama si kutelekezwa kwa miaka mingi baada ya Uhuru, na…

ACT-Wazalendo yamwangukia Waziri Majaliwa sakata la malipo Mbagala

Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Chama Cha ACT-Wazalendo kimemuomba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa,kulifuatilia sakata la malipo ya waathirika wa mabomu ya Mbagala na kuchukua hatua walioshughulikia suala hilo kwani kuna harufu ya udanganyifu,ubaguzi na uonevu. Rai hiyo imetolewa leo Februari 1, 2023…

Kevela: Tuache kuchangia michango kwa wanaotaka kuoa ama kuolewa

Yono Kevela ambaye ni mbunge mstaafu wa Jimbo la Wanging’ombe mkoani Njombe amewashauri Watanzania kuacha kuchangia michango mikubwa kwa watu wanaotaka kuoa ama kuolewa badala yake waongeze nguvu ya michango kwa watoto ili waweze kupata elimu. Amesema hayo wakati akizungumza…