Category: Siasa
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!
Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa
“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Waandishi vijana wanaua uhuru wa habari
Tunapozungumzia uhuru wa habari tunakuwa na maana mbili. Kwanza, uhuru wa vyombo vya habari kutoa habari zilivyo bila kutishwa au kusumbuliwa. Pili, uhuru wa wananchi kupewa habari zilivyo bila vikwazo au kufichwa.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Kujitolea muhimu kwenye chama
“Lakini chama chochote, hata chama cha michezo tu, lazima kiendeshwe na mashabiki kwa njia za kujitolea. Moyo wa kujitolea ukifa, chama hakiwi chama tena; kinakuwa ni chaka tu la mawindo ya kujitafutia mali.”
Maneno haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
KAULI ZA WASOMAJI
Polisi iwakamate waliomuua Barlow
Ili Jeshi la Polisi liweze kujijengea hesima katika jamii, lioneshe makali yake katika kushughulikia mtandao wa mauaji ya RPC Liberatus Barlow, kufuatia maelezo yaliyotolewa na Malele.
Boniface Nyerere, Dar
- Mkutano wa kikanda wajadili usalama na biashara haramu ya silaha
- EACOP kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu nchini
- Wafungwa 1,369 wapunguziwa adhabu, 436 waachiwa huru
- Miaka 62 ya Muungano, Rais Samia asamehe wafungwa katika kuadhimisha
- Mwenyekiti CCM ashiriki Kongamano la Muungano Tunguu, Zanzibar
Habari mpya
- Mkutano wa kikanda wajadili usalama na biashara haramu ya silaha
- EACOP kuendelea kuunga mkono maendeleo sekta ya elimu nchini
- Wafungwa 1,369 wapunguziwa adhabu, 436 waachiwa huru
- Miaka 62 ya Muungano, Rais Samia asamehe wafungwa katika kuadhimisha
- Mwenyekiti CCM ashiriki Kongamano la Muungano Tunguu, Zanzibar
- Wazuri Mkuu azungumza na wakazi wa Jiji la Dar es Salaam
- Katibu Mkuu ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira ashuhudia mchezo wa Yanga na Azam
- Ushirikiano VETA na Emirates Aluminium waibua matumaini kwa mafundi wa fani ya vioo
- Wananchi Dar wakumbushwa kulipia pango la ardhi ndani ya siku 14
- THTU yataka utafiti ubadilishwe kuwa mapato na ajira
- Waziri Mkuu ashiriki ibada ya Jumapili Kanisa la KKKT usharika wa Azania Fron
- Rais Dk Samia azindua Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu Kigamboni Jijini Dar
- Asilimia 10 yaendelea kuzaa matunda, mwenge wazindua basi la vijana Mkuranga
- MSD yajiimarisha mfumo wa ununuzi bidhaa za afya nchini
- Serikali yaimarisha uwazi sekta ya madini, bei elekezi kutolewa kila siku