Category: Siasa
Wachina hufanya chochote wanachotaka
Juni 1964 Tanzania ilitembelewa kwa mara ya kwanza na kiongozi wa ngazi ya juu kutoka China. Alikuwa Wazari Mkuu Chou en-Lai.
Ndoto ya pensheni kwa wazee wote kutimia (1)
Siku za karibuni tumesikia misamiati mbalimbali juu ya kuwasaidia wazee wote wa Tanzania. Upo msamiati wa wazee kupatiwa PENSHENI huko tuelekeako. Wengine wanasema wazee watapata Cash Grant. Msamiati mwingine unasema wazee wanaandaliwa mpango unaojulikana kama Universal Pension Scheme. Kitaifa ipo mifumo kadhaa ya kuwasaidia watu inayoitwa Mifuko ya HifadhiI ya Jamii kama vile NSSF, PPF, NHIF na LAPF.
TUFUMUE FIKRA ZA KIMASIKINI KWA WATANZANIA!
Wiki iliyopita Waziri mwenye dhamana katika wizara ya kazi, ajira na maendeleo ya vijana aliwasilisha bajeti ya wizara yake.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Tunamtaka rais anayechukia rushwa
“Rushwa ni adui wa haki. Tunamtaka rais atakayelitambua hilo, atakayeichukia rushwa hata ukimwangalia aoneshe kweli anaichukia rushwa, sio rais anayesema kweli rushwa ni adui wa haki… lakini ukimwangalia usoni unashangaa na kusema… aaaah kweli huyu?”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Waandishi vijana wanaua uhuru wa habari
Tunapozungumzia uhuru wa habari tunakuwa na maana mbili. Kwanza, uhuru wa vyombo vya habari kutoa habari zilivyo bila kutishwa au kusumbuliwa. Pili, uhuru wa wananchi kupewa habari zilivyo bila vikwazo au kufichwa.
NUKUU ZA WIKI
Nyerere: Kujitolea muhimu kwenye chama
“Lakini chama chochote, hata chama cha michezo tu, lazima kiendeshwe na mashabiki kwa njia za kujitolea. Moyo wa kujitolea ukifa, chama hakiwi chama tena; kinakuwa ni chaka tu la mawindo ya kujitafutia mali.”
Maneno haya ni maneno ya Baba wa Taifa letu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Habari mpya
- Bangu :Ajira 31,875 zimezalishwa kupitia WRRB
- Alama ya Ubora ya Afrika Yazinduliwa
- Chatila afunguka mipango ya kuibadili Ujenzi Sports Club
- Bandari ya Mtwara yawania kuteka soko kubwa zaidi ndani ya SADC
- Wakulima waonja matunda ya stakabadhi za ghala, mauzo yapanda kwa asilimia 43.6
- ASGM yazalisha asilimia 40 ya dhahabu Tanzania, matumizi ya zebaki yaendelea kuwa changamoto
- Wadau wahamasisha teknolojia mbadala kupunguza matumizi ya zebaki migodini
- Prof. Nombo: Ujuzi wa kisasa ni nguzo ya viwanda na teknolojia
- Mbio za mwenge zazindua mradi wa nishati safi Simiyu
- Morocco, Tanzania zaimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kidiplomasia
- Rais Samia athibitisha nia ya maridhiano kuelekea mchakato wa maboresho wa katiba, ateta na viongozi vyama vya siasa
- Morcase : Binti miaka 16 amuua mama yake kisa kukatazwa kwenda ‘birthday’
- Serikali kuzalisha maelfu ya ajira kwa vijana kupitia mradi wa Umwagiliaji
- Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu kwa mwaka 2026 Kufanyika Tanga
- AFRICA AGRI EXPO 2026; Tanzania kuwa kitovu cha ubunifu wa kilimo Afrika