Category: Uchumi
Biashara zinahitaji utaalamu, sio kupapasa
Kwa muda mrefu sasa, nimejijengea utamaduni wa kujisomea vitabu. Sisomi kila aina ya vitabu, isipokuwa ninapenda sana vitabu vya biashara na uchumi (finance, economic, entrepreneurship and business), vya uhamasisho na shuhuda (motivational and inspirational) na vinavyohusu ustawi wa kiroho na kimaisha (spiritual and personal improvements). Mara chache sana huwa nasoma vitabu vinavyohusu siasa hasa zile za kimataifa.
UN na jitihada za kuisaidia Tanzania
Tanzania ni nchi tajiri kwa rasilimali, na licha ya pato lake kukua mwaka hadi mwaka, wananchi wake ni maskini.
Nguvu ya rangi katika biashara zetu
Leo nitawapitisha wajasiriamali katika somo muhimu kuhusu rangi. Je, unafahamu chimbuko la neno yeboyebo hapa nchini? Twende pamoja. Miaka michache iliyopita, kampuni moja ya hapa Tanzania ilitambulisha bidhaa zake za juisi zilizokuwa zikifahamika kama “Yebo”. Juhudi kubwa ilielekezwa katika kuitangaza…
NMB wafundisha uelewa masuala ya kifedha kwa wanafunzi
*Moto waanzia Pugu, Mlimani, sasa kuenea nchi nzima
*Unalenga kuwafunza watoto faida za kutumia benki
Benki ya NMB mara zote imekuwa mbele katika kubuni na kutekeleza miradi mbalimbali, yenye lengo la kuwainua Watanzania kimaisha.
Teknohama inavyopaisha biashara
Katika zama hizi za utandawazi, dunia yetu imetawaliwa na mifumo ya aina nyingi inayotikisa na kugusa maisha kila siku ya wakazi wa dunia nzima. Moja ya mifumo hiyo ni mfumo wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEKNOHAMA) pamoja na mfumo wa biashara.