JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yaunga mkono wasambazaji nishati safi ya kupikia

Na Zuena Msuya, Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba amesema kuwa, Serikali inaendelea kuunga mkono juhudi za Sekta Binafsi katika kuhakikisha watanzania wote wanatumia nishati safi ya kupikia ili kutimiza azma ya Serikali ya…

NMB yaanzisha huduma ya mikopo nafuu ya elimu

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Benki ya NMB imesema imetenga kiasi cha sh. bilioni 200 kwa ajili ya kuwakopesha wafanyakazi wanaotaka kupata elimu ya juu au wale wanaohitaji fedha za kuwasomesha wategemezi wao. Bidhaa hiyo mpya ya mikopo nafuu inayoleta ahueni kubwa…

Mtoto wa Museveni atangaza kumngo’a baba yake madarakani

Na Wilson Malima, JAMHURI MEDIA Mtoto wa Rais wa Uganda Yoweri Museveni, Mhoozi Kainerugaba ametangaza nia ya kutaka kumrithi Baba yake kiti cha Urais wa Uganda ambapo amesema atagombea Urais wa nchi hiyo ifikapo mwaka 2026. Mhoozi ambaye ni Jenerali…

‘Baadhi ya wanaume wanakwamisha juhudi za wanawake kimaendeleo’

Na Severin Blasio,JamhuriMedia,Morogoro Wakati jitihada za kukomesha ukatili wa kijinsia hususani kwa wanawake,zinaendea imeelezwa bado baadhi ya wanaume wamekuwa kikwazo katika kukwamisha na kuwakatisha tamaa wanawake. Hayo yameelezwa kwenye mafunzo ya wanawake na makundi maalumu kutoka Kata za Bwakira juu,Selembala…

Bil.4.6/- kuibadilisha ranchi ya Kongwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imetenga kiasi cha Shilingi Bilioni 4.6 kwa ajili ya kufanya maboresho makubwa katika ranchi ya Kongwa ikiwa ni pamoja na ununuzi wa mbegu bora za ng’ombe, uchimbaji wa visima na ununuzi wa matrekta. Hayo yameainishwa na…

TRA Chunya yajivunia sekta ya madini kwa ukusanyaji wa kodi

Na Richard Mrusha,JamhuriMedia MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya imesema kuwa asilimia kubwa ya mapato katika Wilaya hiyo yanatokana na Madini ambapo wachimbaji wadogo wamekuwa na uelewa mpana juu ya kifaa kinachotumika katika kurahisisha ukusanyaji wa…