JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Serikali yaweka mikakati kudhibiti viashiria vyote vya uvunjifu wa amani

. ……………………………….. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watendaji wote Serikalini kuweka mkakati wa kudhibiti viashiria vyote vya uvunjifu wa amani katika maeneo yao. Majaliwa amesema lengo la agizo ni kusisitiza utekelezwaji wa maono na dhamira ya Rais Samia Suluhu Hassan…

Waziri Mkuu Majaliwa akaimu Urais

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amekaimu Urais wa Tanzania tangu Septemba 17, 2022 hadi Rais Samia Suluhu Hassan atakaporejea nchini, JAMHURI DIGITAL imeambiwa. Rais Samia aliondoka nchini Septemba 17, 2022 kwenda kushiriki maziko ya Malkia…

Mkumbo awaonyesha njia wadau wa habari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mbunge wa Jimbo la Ubungo,Kitila Mkumbo amewashauri wadau wa habari kueleza hoja zenye tija kuhusiana na kupendekeza kwa baadhi ya vifungu vya sheria ya habari kuomba kubadilishwa. Mkumbo ameyasema hayo jijini Dodoma alipozungumza na mwandishi wa habari…