Author: Jamhuri
News: No Longer a Mystery
News is the sole approach that makes them stay linked with the remaining portion of the world. Is it doesn’t connectivity between you and the rest of the world. Each of the present news about numerous fields ought to be…
Kigogo wa CCM anaswa uraia
Kigogo CCM anaswa uraia *Anyimwa pasipoti kwenda ziarani China *Apanda vyeo na kushika nafasi nyeti nchini *Apewa maelekezo mazito kutimiza masharti *Baba aliingia Tanzania akiwa na miaka 3 NA WAANDISHI WETU, DODOMA Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi…
Rais safi inawezekana, tutimize wajibu
Mwaka 2015 una mshindo mkubwa kwa Watanzania, mshindo unaotokana na matendo matatu muhimu yanayowaweka wananchi katika hekaheka na fukuto la moyo.
Nini ufanye ukihisi mwenza wako anataka kuuza nyumba, kiwanja?
Upo wakati katika ndoa ambako mmojawapo anaweza akawa anataka kuuza au kubadili jina la nyumba/kiwanja bila ridhaa ya mwenzake ilhali nyumba hiyo ni ya familia. Lakini pia nje ya hilo, kuna mazingira ambayo mtu anaweza kuwa si mwanandoa, lakini ana…
Yah: Na mimi nataka ukuu wa wilaya siku moja?
NA BARUA YA S.L.P. Mzee Zuzu, C/O Duka la Kijiji Kipatimo, S.L.P. Private, Maneromango. Mtanzania Mwenzangu, Yahoo.com/hotmail.com/excite.com/www.http, Tanzania Yetu. Kuna tetesi kwamba ukuu wa wilaya unagawiwa kama njugu na wanaosema hivyo labda wana taarifa kamili juu…
