JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Watu 85 wakamatwa kwa uzushi wa kuibiwa nyeti, watatu waenda jela miezi sita

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linatoa wito kwa baadhi ya watu wanaozua taharuki na kutoa taarifa za uzushi zinazosababisha vitendo vya uvunjifu wa amani kuhusiana na kuibiwa kwa nyeti zao mara baada ya kushikwa…

Doris Mollel umestahili tuzo ya WHO, umeokoa maisha ya wengi

Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Dar es Salaam Nakumbuka mwalimu wangu wa somo la Uraia (Civics) alipokuwa akitufundisha mada (topic) ya “Haki za “Binadamu” (Human Rights) tulipokuwa Kidato cha Kwanza, alituambia mengi kuhusu haki za binadamu.  Miongoni mwa mikazo yake,…

TB yatibiwa ndani ya miezi sita

*Dar es Salaam yaongoza kitaifa kwa maambukizi,*Ujazo abiria kwenye daladala, msongamano wa makazi wachangia Na Kulwa Karedia, JahuriMedia, Dar es Salaam KWA miaka kadhaa iliyopita, ugonjwa wa kifua kikuu (TB), ulikuwa unatibika kwa mwaka mzima, sasa mambo yamebadilika ambapo mgonjwa…

Amani si kwa ajili ya faida ya Rais wala Serikali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Aprili 5,2026 Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, alishiriki Tamasha la Pasaka la Mtoko na Christina Shusho lililofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam. Katika tamasha hilo, Waziri Mkuu alisema kuwa…

Serikali yahimiza matumizi ya vyakula vya asili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Afya imewahimiza Watanzania kurejea katika matumizi ya vyakula vya asili kama sehemu muhimu ya kujenga afya bora, kuzuia magonjwa, na kusaidia matibabu kwa njia salama na endelevu. Akizungumza jijini Dodoma katika…