Category: Habari Mpya
TPA yadhamiria kuziboresha bandari kuwa za kisasa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Bagamoyo Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),imedhamiria kufanikisha maono ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kufanya mageuzi makubwa ya uchumi wa nchi kutoka daraja la tatu kwenda kwenye nchi zenye uchumi wa daraja la pili. Hayo yamebainishwa…
Kinana ataja mambo manne ambayo hayati Nyerere alikuwa akiyasimamia
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kibaha Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM) Tanzania Bara Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametaja mambo manne ambayo Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere alikuwa akiyasimamia enzi ya uhai wake kwa ajili ya maendeleo ya Watanzania….
Rais kupokea na kuzindua chuo cha VETA Kagera
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tazania anatarajiwa kupokea na kuzindua Chuo kipya cha Ufundi Stadi na Huduma (VETA) cha Mkoa wa Kagera. Halfa hiyo inatarajiwa kufanyika Alhamis tarehe 13 Oktoba, 2022. Katika Chuo hicho kipya kilichopo Burugo Nyakato Kagera….
Polisi yamsaka mwanaume aliyemkata mpenzi wake sehemu za siri na matiti
Jeshi la Polisi linamtafuta mtu aliyefahamika kwa jina moja la Masoud kwa tuhuma za kumkata sehemu za siri pamoja na chuchu za matiti zote kwa aliyekuwa mpenzi wake aliyedumu naye miezi miwili. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza SACP Ramadhani…
Kundecha:Elimu ya dini kwa watoto itapunguza ubakaji
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Wazazi wameshauriwa kuzingatia malezi na maadili kwa watoto wao ili kupunguza idadi ya watoto wanaojiingiza katika makundi yasiyofaa na kusababisha kufanya matendo yanayoishangaza jamii. Ushauri huo umetolewa leo Oktoba 12, 2022 na Amiri wa Baraza Kuu la…
Majaliwa:Tutaendelea kutoa kipaumbele kwa watoto wa kike
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania itaendelea kutoa kipaumbele katika kuhakikisha wanawake na watoto wa kike wanapata huduma wezeshi zikiwemo za afya na elimu ili kuwezesha kujenga jamii yenye usawa. Amesema Serikali inatambua na itaendelea kuunga mkono jitihada…





