JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TANAPA isaidieni Mahakama kujenga ushahidi usio na mashaka

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Naibu Kamishna wa Uhifadhi na Maendeleo ya Biashara (TANAPA), Herman Batiho amewataka wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi na Kwata kwa Askari Waandamizi kuisaidia Mahakama kujenga Ushahidi usio na mashaka kwa kesi zote zinazohusiana na masuala ya Wanyamapori…

Mabasi yasiyokata tiketi kwa mtandao kuanza kuzuiliwa kesho

Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Morogoro MAMLAKA ya udhibiti usafiri ardhini( LATRA)imesema kuwa kuanzia Septemba mosi 2022 mabasi yote ya abiria ambayo hayatakuwa yamewakatia abiria wake tiketi mtandao hayataruhusiwa kuendelea na safari yake ikiwa ni pamoja na kutozwa faini ya shilingi 250000 kwa…

RC Makalla atoa siku 30 kwa wakazi wa Chasimba, Chatembo kulipa fidia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ametoa mwezi mmoja kwa wavamizi wa ardhi ya Kiwanda Cha Wazo kuhakikisha wanapokea ankara na kuanza malipo ya fidia kwa mujibu wa makubaliano yaliyokuwa yamewekwa awali. RC…

Polisi, LATRA Manyara wabaini madudu mabasi ya wanafunzi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Manyara Mkuu wa Kitengo cha Usalama Barabarani wa Jeshi la polisi Mkoa wa Manyara Mrakibu Mwandamizi wa Polisi SP Georgina Richard Matagi amewaagiza wamiliki na watumiaji wa magari yanayotumika kubeba wanafunzi kuzingatia sheria za usalama barabarani. Ameyasema hayo…

Serikali yaongeza bajeti ya matengenezo ya miundombinu ya umeme

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI imeongeza bajeti ya matengezo ya miundombinu ya umeme kutoka shilingi bilioni 197.61 kwa mwaka 2021/2022 hadi shilingi bilioni 211.56 kwa mwaka 2022/2023 ili kuimarisha hali ya upatikanaji umeme nchini. Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma wakati Wizara…

Rais Dkt.Mwinyi ateua viongozi mbalimbali

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Agosti 30, 2022 na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar, Mhandisi…