JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

FIKRA YA HEKIMA

Viongozi hawa hawatufai

Wakati wa uongozi wa Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin William Mkapa, viongozi wengi wa serikali walijenga nidhamu na uwajibikaji kwa wananchi japo si kwa kiwango kikubwa. Wengi waliheshimu utumishi wa umma.

JK usizungumzie usalama wa nchi nyingine

Mheshimiwa Rais, awali ya yote hongera kwa hotuba yako ya mwisho wa mwezi maana ilijaa lugha tamu ya kidiplomasia inayoonesha namna ulivyo muungwana na usiyependa ugomvi au migogoro na nchi majirani zetu.

NUKUU ZA WIKI

Mwalimu Nyerere: Tuendeleze 
demokrasia tupate maendeleo

“Jambo kubwa kwa maendeleo ya nchi yetu ni kuendeleza demokrasia yenyewe na siyo muundo unaoiendesha. Jambo hili litakapoletwa ili liamuliwe na mkutano wa Chama, hoja zitakazoongoza uamuzi huo lazima ziwe na uhusiano na hali halisi na mahitaji ya Tanzania ya wakati huo.”

Haya ni maneno ya Baba wa Taifa la Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

KELVIN CHRISTOPHER ‘KIBA GITA’:

 

Prodyuza anayetamani  kumiliki kituo cha redio

Imekuwa jambo la kawaida kwa vijana wengi kukaa vijiweni, kwa kisingizio kuwa Serikali imeshindwa kuwapatia ajira.

FC Lupopo yasifu wachezaji wa Tanzania

*Huenda Kaseja akasajiliwa huko

Katika hali inayoonesha kuwa wanandiga wa Kitanzania wanaosakata kabumbu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) wanakubalika, Klabu ya Soka ya FC Lupopo imesema wachezaji kutoka Tanzania wanapendwa nchini humo kutokana na uwezo wao kisoka.

Tenisi wajihami Afrika Mashariki, Kati

Timu ya Taifa ya Tenisi inayoshiriki mashindano ya Afrika Mashariki na Kati kwa vijana wenye umri chini ya miaka 15, imeondoka leo kwenda Nairobi, Kenya kushiriki mashindano ikiwa na matumaini ya kushinda.