Category: Kitaifa
Vigogo wa bilioni 300 wakalia kuti kavu
Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema vyombo vya dola vimeanza kuchunguza taarifa za kuwapo kwa zaidi ya Sh bilioni 300 zilizofichwa katika benki nchini Uswisi.
Pinda ameliambia Bunge kuwa Serikali imepata taarifa hizo kupitia vyombo vya habari, na kwamba tayari wameanza uchunguzi na baadaye watatangaza matokeo.
Kashfa uporaji ardhi kubwa…
Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Anayetuhumiwa kumteka Dk. Ulimboka azungumza
*Ni Kamanda Msangi anyeongoza Tume ya kuchunza utekaji ulivyotokea
*Ujumbe wasambazwa kuwa ndiye alimpora simu ya mkononi na ‘wallet’
*Yeye asema amekatishwa tamaa, Professa Museru aeleza alichosikia
Askari anayetuhumiwa kumteka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, Kamishna wa Polisi Msaidizi (ACP), Ahmed Msangi, amehojiwa na kuzungumzia kilichotokea kuhusiana na tuhuma kwamba aliambiwa arejeshe simu ya mkononi na pochi ya Dk. Ulimboka.
Twende tuwekeze Sudan Kusini – Jenerali Kisamba
*Saruji, ngano, vifaa vya ujenzi, alizeti vinahitajika *Asema majirani zetu wameshaanza kunufaika mno Ushauri umetolewa kwa Tanzania na Watanzania kuamka na kuchangamkia fursa za uwekezaji na biashara zilizojitokeza katika taifa jipya la Sudani Kusini. Ushauri huo umetolewa na…
Kashfa uporaji ardhi kubwa Pinda ahusishwa
*Mmoja wa washirika ajitoa kuepuka aibu
*Ni Chuo Kikuu cha Iowa cha Marekani
*Yabainika wanaleta teknolojia hatari nchini
[caption id="attachment_124" align="alignleft" width="160"]Waziri Mkuu Mizengo Pinda[/caption]Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameendelea kubanwa kuhusu uamuzi wake wa kuwasaidia Wamarekani kujitwalia ekari laki nane za ardhi kwa miaka 99 mkoani Katavi.
Habari mpya
- Wazazi waipongeza GEL kwa elimu kuhusu fursa za masomo nje ya nchi
- Rais Dkt. Samia awataka wakulima wa pamba kukaa mguu sawa
- TPA yazindua zoezi la ukaguzi wa malori yanayohudumia bandarini
- Rais Samia apeleka neema ya maji Kasulu
- Mashindano ya Taifa kuogelea kwa vijana yaendelea kuibua vipaji vipya
- Rais Samia afungua Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Simiyu
- Rais Dkt. Samia akifungua Jengo la Ofisi ya Mamlaka ya TRA Simiyu
- Muonekano wa Kiwanja cha MOLI Oil Mills Co. Ltd kiwanda cha utengenezaji wa mabomba ya maji na uchakataji wa pamba Bariadi
- Rais Dk Samia akimsikiliza Mkurugenzi wa Kiwanda cha MOLI Oil Mills Co. Ltd
- Wakili Mpanju awapa somo wahitimu maendeleo ya jamii UDOM
- Matukio mbalimbali ya Rais Dk Samia wakati akifungua kiwanda cha kutengeneza mabomba ya maji na kuchambua pamba
- Rais Samia afungua kiwanda cha kutengeneza Mabomba ya maji na kuchambua Pamba Bariadi
- Balozi Nchimbi : Fidia ya mifugo iliyotaifishwa lihitimishwe
- Israel, Iran zatishiana kufanya uharibifu, mzozo wafukuta zaidi
- Serikali itaendelea kuwalinda wazee – Naibu Waziri Mwanaidi