Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
December 21, 2022
Habari Mpya
Waziri Masauni ateta na wakuu wa vyombo vya usalama
Jamhuri
Comments Off
on Waziri Masauni ateta na wakuu wa vyombo vya usalama
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, (katikati) akimsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Maduhu Kazi, alipokuwa akizungumza katika kikao kazi cha Wakuu wa Vyombo vya Usalama vya Wizara yake kilichofanyika Ofisi ndogo ya Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam, leo Disemba 21, 2022. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Kaspar Mmuya.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, (kushoto) akimpa maelekezo Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Maduhu Kazi, katika kikao kazi cha Wakuu wa Vyombo vya Usalama vya Wizara yake kilichofanyika Ofisi ndogo ya Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam.
Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni, (katikati meza kuu) akimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Kaspar Mmuya, alipokuwa akizungumza katika kikao kazi cha Wakuu wa Vyombo vya Usalama vya Wizara yake kilichofanyika Ofisi ndogo ya Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam, leo Disemba 21, 2022. Kulia ni kuu Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Maduhu Kazi, na kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Camilius Wambura.
Post Views:
233
Previous Post
Serikali hyaimarisha huduma za matibabu ya moyo
Next Post
HaloPesa yazindua “Shinda Tena na Halopesa'
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Habari mpya
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Geita yaupokea mradi wa bilioni 17 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105
Kongamano la ARGe0-C10 kuongeza kasi uendelezaji jotoardhi Afrika Dk Mataragio
Urusi yafanya mashambulizi usiku kucha mjini Kyiv Ukraine
Profesa Mkumbo avutiwa na utendaji wa bandari ya Dar
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Shule za Mbeya kufanyiwa ukarabati mkubwa, zitoe mazingira bora ya kujifunzia